VUVUZELA AFTER EFFECT

Baada ya kombe la dunia kuisha usishangae kukutana na watu wa namna hii kama matokeo ya kupuliza sana mavuvuzela...Maanaake kila kona hata huku bongo ni mwendo wa mavuvuzela...du!

1 comment:

Anonymous said...

Hahaha! hii ni kiboko. duh!