Usiku wa kuamkia leo utabakia kuwa historia kwa wakazi waishio Dar es Salaam haswa wa maeneo ya Gongo la Mboto pamoja na maeneo ya Jirani. Vifo, Majeruhi, Uharibifu wa Mali, Majengo, ndio vilio vikubwa kwa wakazi hawa baada ya kutokea Milipuko Mikubwa ya mabomu katika kambi ya Jeshi huko Gongo la Mboto wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.
Sala na misaada yetu ya hali na mali ndio ombi la wakazi hawa.



Je! Serikali inasemaje kuhusu milipuko hii? Endelea kutembelea blog hii ya jamii..
1 comment:
kitu ilifika hadi kimara kaka...tumekimbia kilomita zaidi ya 3 kuokoa maisha yetu..dah!
Post a Comment