UGUMU WA MAISHA

Hali ngumu ya Maisha

SUZY KAJUBILI MFANYAKAZI BORA AIRTEL

Mdau Suzy akipokea zawadi toka kwa Bosi wake

Mdau wa Airtel a.k.a 'mzee wa Befoward' Susan Kajubili ameibuka kidedea kwa kuwa mfanyakazi bora Airtel kitengo cha Huduma kwa Wateja

AIRTEL YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma Kwa Wateja Bi.Adriana Lyamba akielezea Umuhimu wa Wiki ya Huduma kwa Wateja Duniani

Meneja Huduma kwa Wateja akielezea mikakati ya Airtel katika kutoa huduma bora kwa wateja

Meneja wa Huduma kwa Wateja Gabriel Kamukara

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Bw.Sam Ellangaloor akisisitiza jambo kwenye Uzinduzi wa wiki ya Huduma kwa wateja

Kikosi kazi cha Huduma kwa Wateja katika picha ya pamoja

Viongozi waandamizi wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja

Bosi Adriana akiwa na Mameneja wake

CHEZA MBALI NA KASHESHE

Hapo kwa wale wezi wa waume za watu kuwaita mabuzi imekula kwao

MKEREKETWA



Tungefikia level hizi katika klabu zetu inji hii ingekuwa mbali saa hizi

World's AIDS Day 1st Dec 2011

Greetings,

As we commemorate World’s AIDS day today please remember this is the only time where getting a ZERO matters. As the theme for this year states “Getting to zero” meaning Zero new infections, Zero discrimination and Zero HIV/AIDS related Deaths. Positive or Negative??It doesn’t matter what matters is how responsible you are in keeping yourself and others around you safe.

Our responsibility(In my opinion):
Zero New infections-Be faithful, Play safe.
Zero Discrimination-Don’t point fingers, Be kind.
Zero HIV/AIDS related deaths-share Care and Treatment(CTC) information with as many people as possible so that they get access to ARVs if infected, Save lives.

Be Bold, Know your status!!

“Getting to Zero” is possible, It begins with YOU.

I submit,

Elly

KUSTAAFU

Ikifikia uko kazini muda mrefu hadi unataka ku-highlight kwenye kompyuta kwa kutumia Highlighter basi ujue ushakuwa chokest...bwaga manyanga,tundika daruga au mwaga unga a.k.a staafu


NDOA ZA KISASA

Miaka ijayo kitu cha ndoa kitakuwa kama inavyoonekana pichani...full kusisitiza ma-fes buku..Usishangae watu kufunga ndoa kwa ku-chat kwenye fes-buku kisha wakakubaliana wote kubadilisha status zao


EPIQ NATION NDANI YA MBEYA

Mwakilishi Mkazi wa Zantel kanda ya Nyanda za Juu Kusini Braza Killian Nango akikabidhi t-shirt kwa Mwanachuo wakati wa Uzinduzi wa Kampeni Kubwa ya Epiq Nation ndani ya chuo cha Mbeya Insititute of Technology

Epiq Nation ikienda live hewani



LUMBESA...HII SIO GARI NI GUTA




LEO NDO LEO ASEMAE KESHO MUONGO



Hii si ya Kukosa Mtu wangu

HONGERA KAKA HERMAN BEREGE



Ndugu yangu Herman Berege alipo-smoke ze kitchen wikiendi hii....Hongera kiongozi wetu wa zamani wa DUPSA pale Mlimani Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.



KIKAZI ZAIDI

Sasa nipo full Nondoz...kupiga kazi..hivi ni vitendea kazi vipya nimeji-upgrade kidogo...

MICHAEL SATA RAIS MTEULE ZAMBIA

Hatimaye Tume Huru ya Uchaguzi Zambia imemtangaza rasmi Bw.Michael Sata wa Patriotic Front Party(PFP) kuwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu wa Zambia...Habari zaidi endelea kufuatilia nipenikupe



KAMA DITTO??

Picha hii mimi imenitisha sijui wewe..Hapa ni Igunga,Huyo Pichani ni Mheshmiwa Mbunge wa CCM Rage..na hapo Kibindoni na Pistol ama Bastola wataalam mnaweza kutwambia ni ya aina gani...

Je!anawinda??au ndo anataka kum-Ditto yeyote atakaemletea ishara ya vidole viwili??