SIMBA MUNYAMA.....

Mzuka wangu ukinipanda hata nguo ntavua...vuaaaaaa!!!EEh Kidedea
Shabiki wa Wekundu wa Msimbazi akipagawa baada ya Musa Hassan Mgosi kunyonyesha bao la pili kwa kichwa Swaaaafi....

Kikosi cha maangamizi cha Wekundu wa Msimbazi kilipiga Duaaa kabla ya kuwadondoshea Dozi wapinzani wa Jadi YeboYebo





No comments: