PATHFINDER KUTOKA JERUSALEM




Kikosi Kazi cha vijana wa Pathfinder wa SDA church Yerusalem kata ya Mabilioni wilayani Same wakiwa kwenye mazoezi...Ikiwa ni maandalizi ya Kongamano la Wasabato litakalofanyika Jumamosi ya Tarehe 17 huko Usharika Mkonga wilayani Same.

No comments: