UHURU WA KWELI WA KUONGEA...CHID BENZ KAZINI

CHid akikamua kwa mzukaaaaa
Kamanda wa Kikosi cha LAfamilia akipiga rigwaride la Darisaalaam sted up put yua hends up....Wakamkubali kiaina

Dada Chiku nae akimsaka Honey.....full sapoti kwa Chid na Bendi yake


No comments: