Viwanda vya nguo nchini vitapona kweli?


Leo nimenunua pensi hii kwa shilingi 500/=(mia tano) tu....sokoni Mbuyuni Moshi mjini.Nikajiuliza kweli viwanda vyetu kama Urafiki,Sunflag,KTM n.k vitawezaje kupambana bei na mitumba?TAFAKARI

No comments: