Leo ni siku Gulio hapa Boma ng'ombe,Hai-Kilimanjaro


Kina mama wa kichaga wako bize kusaka mahela.....nipo katika Gulio la kila wiki hapa Boma ng'ombe yani kila kona full bidhaa....fresh toka kwenye kiamba tofauti na vyakula vya makopo Ughaibuni

No comments: