BARABARA HAICHONGWI HADI ZIARA YA RAIS

Tinga tinga la kusindilia likiwa bize kwenye eneo la darajani njia ya kwenda Kimara Bonyokwa kuandaa mapito ya bwana mkubwa
Grader baada ya kupiga kazi tangu alfajiri likimalizia zoezi eneo la Kimara Mwisho kwenye maguzo ya Tanesco

Eneo hili panaitwa Vyumba vinane.Jana usiku nilipopita palikuwa mahali ambapo magari hayawezi kupishana ila sasa mswano


Njia yetu mpya ya Bonyokwa ikiwa full mkeka ili Raisi apite bila shida.
Hivi kweli Raisi anapopita na kuona barabara mpya hivi hashtukii kuwa imewekwa zuga kwa ajili yake hali ya kuwa tulomchagua tunapita barabara hii miaka mitano ikiwa kama mahandaki????



No comments: