Mbunge wa Ubungo John Mnyika akiwahutubia wananchi wa kata ya Goba katika mkutano wa Mbunge uliofanyika katika Mwembe Madole,Pamoja na kusikiliza Risala ya wananchi Mnyika pia aliongea na wananchi wake kuhusu kero mbali mbali zinazowakanili,ikiwemo ya Maji.
Umati wa Wananchi ukishiriki kiamilifu mkutano unaohusu maendeleo yao
No comments:
Post a Comment