MAANDAMANO??







Unadhani tupo katika maandamano??La hasha....hapa tupo Ubungo Bus Terminal ya Ndege jijini Mwanza a.k.a Uwanja wa Ndege wa Mwanza...Unapotangaziwa kwa bashasha kupitia kipaza sauti kuwa sasa Ndege yako iko tayari kuondoka maana yake ni kwamba jiandae kuchanganya ngoko na kukatiza uwanja kwa ngondi hadi kuleeee unapoziona Ndege...Hii ni staili mpya ambayo naambiwa imedumu kwa muda sasa..Hao jamaa wenye vi-refletor ndo wanaotuongoza njia katika kamsafara haka.....!!!


TIT=This is Tanzania








No comments: