VITA DHIDI YA VVU

Katika mpambano na Ugonjwa wa Ukimwi ofisi hii imeamua kutumia majina ya condom kuelekezea watu msalani..Very creative kwa sana because kama wewe hutumii hizi vitu tutakujua tu utakavyoweweseka na kuingia Lady Pepeta wakati we ni dume...

Hii sasa iwe nchi nzima.

No comments: