KUMBUKUMBU YA VITA YA KAGERA

Pichani ni chasis ya lori ISUZU iliyopigwa bomu na majeshi ya nduli Idd Amin tarehe 3 February 1979 wakati tukiwa tunapeleka vikosi vyetu kumtandika Idd Amin Dada...Ukipita Mji wa Bukoba si vibaya kutembelea kumbukumbu hii murua ya historia yetu inayoonyesha jinsi ambavyo wazee wetu walijitoa kulinda na kutetea hadi ya Taifa



No comments: