GARI YA RAISI ENZI HIZO

Kutoka Jumba la hifadhi za kihistoria Betel Jaib-Zanzibar nalileta kwenu 'BENZI' la wakati huo alilotumia Rais Karume...Wadau kweli tumetoka mbali,hebu pata picha dereva huyu kama aliwahi kuwaza kama kuna magari Automatic yatakuja wala mambo ya Powerwindow au VVT-I...

No comments: