SAMBA ORIJINO 5 vs SAMBA FOTOKOPI 1

Wakiwa hawaamini macho yao Brazil tuliwarudisha kati kuanza dakika ya 86...Staz 1-Brazil 4
Jabir alipotuinua washabiki wa Taifa Starz..wazungu walitushangilia ila sisi wengine wetu walishangilia Brazil.....waBongo bwana..

Screen kubwa la uwanjani likileta kwikwi mara baada ya operator wake kuanza kujifunza computer live


Ma-file meengi...halahala jamaa asijetufungulia mambo ya binafsi walai...Bongo tutakuwa serious lini?Huyu jamaa alianza ku-edit presentation ya Uwanja pale pale kwenye screen wote tukiona...




Foul kuelekea lango la starz...katikati ya dimba



1 comment:

Anonymous said...

Poleni waTanzania kwa kichapo. Tanzania mpira tunauweza sana