UWANJA MTUPUUU....

Wadau Uwanja mtupu manaake nini??bei kubwa au watu walikwama kwenye foleni???Wadau,Uwanja kuwa mtupu hivi manaake ni nini?viingilio ghali au foleni??manaake zote kero
Bora sie wa elf 30 wangetuhamishia hapa kwenye Orange ili tuone kwa ukaribu manaake picha hii nimepiga dakika ya 80 na bado pako patupu...

No comments: