SUGU MOTO CHINI KUELEKEA BUNGENI

Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbeya mjini kwa tiketi ya CHADEMA akitema sera zake kwenye mkutano wa hadhara.
Umati ukiwa Umetulia Makini kabisa kusikiliza sera za Mwanaharakati SUGU Mheshmiwa Joseph Mbilinyi.
Kwa taarifa zaidi mtembelee katika www.suguformbeya.blogspot.com


No comments: