AJALI MAGOMENI MIKUMI MCHANA HUU

Ajali hii imetokea saa 8 na dakika kama kumi hivi maeneo ya Magomeni Mikumi Dar es Salaam leo..Gari la Mchanga lilifeli breki ghafla na kugonga Rav4 iliyokuwa mbele yake na kisha kugonga Hiace hadi kuibeba kama inavyoonekana pichani.

1 comment:

Anonymous said...

kwa kweli hiyo ajali ni ya kutisha. i saw it ni ajabu